Sat, 28 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Arsenal haitamruhusu Golikipa wake Aaron Ramsdale kuondoka mwezi January licha ya kuwa kipa chaguo la pili kwa kocha Mikel Arteta baada ya Ujio wa Golikipa mpya David Raya.
Klabu ya Arsenal haitamruhusu Golikipa wake Aaron Ramsdale kuondoka mwezi January licha ya kuwa kipa chaguo la pili kwa kocha Mikel Arteta baada ya Ujio wa Golikipa mpya David Raya. Ramsdale anataka kuondoka Arsenal ili akapate muda mwingi wa kucheza tofauti na ilivyo Arsenal kwa sasa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live