Thu, 23 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mikel Arteta yupo tayari kumuachia (kumuuza) Thomas Partey kwenda kutafuta changamoto sehemu nyingine ifikapo mwezi Januari kutokana na majeruhi anayoyapata mara kwa mara.
Inasemekana kwamba tayari klabu ya Juventus ya Italia na vilabu vingine kutoka Soud Arabia walionesha nia ya kumtaka kiungo huyo kutoka Ghana, lakin mabosi wa Arsenal wanaonekana kuikubali zaidi ofa kutoka timu za Sound Arabia.
Lengo ni kwamba asiondoke kwa hasara na kabla ya kuondoka Arsenal wamepanga kumpata mbadala wake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live