Fri, 14 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya Arsenal imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Bodo/Glimt katika mchezo wa Kundi A UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Aspmyra Jijini Bodø.
Timu ya Arsenal imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Bodo/Glimt katika mchezo wa Kundi A UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Aspmyra Jijini Bodø. Pongezi kwa mfungaji wa bao hilo pekee, Bukayo Saka dakika ya na kwa matokeo hayo The Gunners wanafikisha pointi tisa na kuendelea kuongoza kundi hilo kwa pointi mbili zaidi ya PSV Eindhoven.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live