Mon, 22 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Arsenal haijaruhusu nyavu kuguswa katika mechi zake sita za mwisho za Ligi Kuu England ikiwa ugenini.
Klabu ya Arsenal haijaruhusu nyavu kuguswa katika mechi zake sita za mwisho za Ligi Kuu England ikiwa ugenini. Ni Chelsea Disemba 2008 na Manchester United Februari 2009 (zote mechi 7) ndio zimefanya hivyo ugenini zaidi ya timu zote kwenye historia ya michuano hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live