Thu, 7 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bao la ushindi la Arsenal alilofunga Declan Rice katika dakika ya 96:23 dhidi ya Luton, limekuwa bao la usiku zaidi katika mechi ya ugenini ya EPL (tangu 2006-07).
Bao la ushindi la Arsenal alilofunga Declan Rice katika dakika ya 96:23 dhidi ya Luton, limekuwa bao la usiku zaidi katika mechi ya ugenini ya EPL (tangu 2006-07). Declan Rice anakuwa mchezaji wa tatu wa Arsenal kufunga mabao mawili ya dakika za lalasama katika msimu mmoja baada ya Ian Wright (1993-94 na 1995-96) na Nicklas Bendtner (2009-10).
Chanzo: www.tanzaniaweb.live