Tue, 28 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya bao la Kai Havertz dakika za jioni, Arsenal imeungana na Brighton kwenye rekodi ya kuwa timu zilizofunga mabao mengi kupitia wachezaji waliotokea benchi tangu kuanza kwa msimu huu.
Baada ya bao la Kai Havertz dakika za jioni, Arsenal imeungana na Brighton kwenye rekodi ya kuwa timu zilizofunga mabao mengi kupitia wachezaji waliotokea benchi tangu kuanza kwa msimu huu. Timu hizi zote zimefunga mabao 10 ya aina hiyo. Bao hilo pia liliifanya Arsenal kufikisha alama 30 na kukaa kwenye kilele cha msimamo wa EPL
Chanzo: www.tanzaniaweb.live