Wed, 10 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya Gabriel Martinelli na Martin Odegaard kila mmoja kufikisha mabao 15, Arsenal hii ni mara ya kwanza kabisa kuwa na wachezaji wawili waliofunga mabao 15+ kwenye msimu mmoja wa Ligi Kuu England.
Baada ya Gabriel Martinelli na Martin Odegaard kila mmoja kufikisha mabao 15, Arsenal hii ni mara ya kwanza kabisa kuwa na wachezaji wawili waliofunga mabao 15+ kwenye msimu mmoja wa Ligi Kuu England. Arsenal kwa sasa wanapambana na Man City kuhakikisha wanabeba taji la Ligi Kuu baada ya kupita miaka 19.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: