Mon, 16 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa Aston Villa, Ollie Watkins ni chaguo la kwanza la kocha wa Arsenal Arteta kuelekea dirisha la mwezi Januari .
Mshambuliaji wa Aston Villa, Ollie Watkins ni chaguo la kwanza la kocha wa Arsenal Arteta kuelekea dirisha la mwezi Januari . Arteta anafikiria kumsajili ili kuwa na machaguo mengi kulingana na mashindano ambayo wanashiriki kwa msimu huu .
Chanzo: www.tanzaniaweb.live