Thu, 29 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Arsenal imepanga kuanza makubaliano mapya na Jorginho juu ya kuongeza mkataba Mpya klabuni.
Klabu ya Arsenal imepanga kuanza makubaliano mapya na Jorginho juu ya kuongeza mkataba Mpya klabuni. Arsenal wanapenda Jorginho aongeze mwaka mmoja wa kuendelea kukipiga ndani ya klabu hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live