Tue, 23 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Arsenal itajaribu kumsajili Nahodha wa Manchester City Ilkay Gundogan ikiwa Granit Xhaka ataondoka klabuni hapo.
Klabu ya Arsenal itajaribu kumsajili Nahodha wa Manchester City Ilkay Gundogan ikiwa Granit Xhaka ataondoka klabuni hapo. Gundogan anamaliza mkataba wake mwishoni mwa msimu huu na tayari Klabu ya Barcelona wameonesha nia ya kumsajili.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live