Arsenal wanaweza kuwa na ndoto ya mwisho wa dirisha la uhamisho kwa kukamilisha Usajili wa Kiungo wa Ushambuliaji, Fundi wa Kibrazil João Paulo de Souza Mares 'Bitello' (23) akitokea klab ya Gremio kwa ada ya Usajili £8.5m.
Arsenal wanaweza kuwa na ndoto ya mwisho wa dirisha la uhamisho kwa kukamilisha Usajili wa Kiungo wa Ushambuliaji, Fundi wa Kibrazil João Paulo de Souza Mares 'Bitello' (23) akitokea klab ya Gremio kwa ada ya Usajili £8.5m. Rais wa klab ya Gremio Antonio Brum's amethibitisha kuwa ni kweli wamepokea Ombi kutoka ndani ya klab ya Arsenal na tayari linafanyiwa kazi na Uongozi wa klabu ya Gremio.