Tue, 4 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya AS Monaco FC ya nchini Ufaransa wako tayari kumuuza kiungo wa kati wa Ufaransa, Youssouf Fofana anayelengwa na Arsenal na Manchester United kwa pauni milioni 20, huku kandarasi ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25 ikikamilika mwaka ujao
Timu ya AS Monaco FC ya nchini Ufaransa wako tayari kumuuza kiungo wa kati wa Ufaransa, Youssouf Fofana anayelengwa na Arsenal na Manchester United kwa pauni milioni 20, huku kandarasi ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25 ikikamilika mwaka ujao Aya kazi kwenu sasa Arsenal na Manchester United
Chanzo: www.tanzaniaweb.live