Mon, 11 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu za Arsenal , Manchester United , Newcastle na Chelsea zote zinaonyesha nia ya kumnunua beki wa kushoto wa Borussia Monchengladbach raia wa Ujerumani, Luca Netz mwenye umri wa miaka 20.
Timu za Arsenal , Manchester United , Newcastle na Chelsea zote zinaonyesha nia ya kumnunua beki wa kushoto wa Borussia Monchengladbach raia wa Ujerumani, Luca Netz mwenye umri wa miaka 20. Netz amekuwa na kiwango bora sana katika Ligi ya Bundesliga hali iliyomfanya ageuke kuwa dhahabu inayosakwa na kila mmoja.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live