Wed, 21 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Arsenal na Chelsea wanakaribia kukubaliana dili la uhamisho wa Kai Harvertz kutua Emirates kwa dau la takribani Pauni Milioni 65
Arsenal na Chelsea wanakaribia kukubaliana dili la uhamisho wa Kai Harvertz kutua Emirates kwa dau la takribani Pauni Milioni 65 Mazungumzo yanayoendelea sasa ni kuhusu muundo wa ulipaji wa ada hiyo . Maslahi binafsi yapo tayari kukamilika.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live