Tue, 14 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Makamu wa Rais wa klabu ya Young Africans Arafat Haji amesema wana ratiba ngumu kuelekea mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika kutokana na wachezaji wao wengi kuwa kwenye majukumu ya timu zao za Taifa.
Makamu wa Rais wa klabu ya Young Africans Arafat Haji amesema wana ratiba ngumu kuelekea mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika kutokana na wachezaji wao wengi kuwa kwenye majukumu ya timu zao za Taifa. Kama timu tayari wameshafanya taratibu zote kuhakikisha wachezaji wote waliopo kwenye timu zao za Taifa wanaripoti Algeria kwa wakati kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya CR Belouizdad.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: