Tue, 17 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwenye ushindi wa mabao matano kwa sifuri(5-0) walioupata Timu ya Mabao hii leo nyota Juma Majeshi ameondoka na mpira baada ya kufunga mabao matano peke yake katika mchezo wa michuano ya Ndondo Cup inayoendelea mjini Kahama.
Kwenye ushindi wa mabao matano kwa sifuri(5-0) walioupata Timu ya Mabao hii leo nyota Juma Majeshi ameondoka na mpira baada ya kufunga mabao matano peke yake katika mchezo wa michuano ya Ndondo Cup inayoendelea mjini Kahama.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live