Wed, 18 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa Mainz 05 Anwar El Ghaz amesimamishwa klabuni hapo baada ya kushiriki na kutoa msimamo wake juu ya vita inayoendelea kati ya Gaza na Israel.
Mshambuliaji wa Mainz 05 Anwar El Ghaz amesimamishwa klabuni hapo baada ya kushiriki na kutoa msimamo wake juu ya vita inayoendelea kati ya Gaza na Israel. El Ghazi amejiunga na klabu hiyo ya Ujerumani wiki chache zilizopita kama mchezaji huru, Mainz imesema haiungi mijadala ya kisiasa ambayo inaendelea huko Middle East.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live