Wed, 23 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa Hispania, Ansu Fati, mwenye umri wa miaka 20, ameripotiwa kuchagua kuondoka Barcelona, huku Manchester United, Arsenal na Tottenham Hotspur zikiwa miongoni mwa klabu za Ligi Kuu England zinazomwania.
Mshambuliaji wa Hispania, Ansu Fati, mwenye umri wa miaka 20, ameripotiwa kuchagua kuondoka Barcelona, huku Manchester United, Arsenal na Tottenham Hotspur zikiwa miongoni mwa klabu za Ligi Kuu England zinazomwania.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live