Thu, 7 Jul 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Beki wa kati Andrea Christensen ametambulishwa rasmi katika klabu ya mpya ya Barcelona baada ya kusaini mkataba wa miaka Minne.
Beki wa kati Andrea Christensen ametambulishwa rasmi katika klabu ya mpya ya Barcelona baada ya kusaini mkataba wa miaka Minne. Christensen amejiunga na Barcelona kama mchezaji baada ya kumaliza mkataba wake na Chelsea.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live