Tue, 1 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya Andre Onana kumgombeza Maguire wakati wa mchezo wa kirafiki dhidi ya Borussia Dortmund, Onana amesema wako vizuri hawana tatizo ilikuwa sehemu ya mchezo
"Hatupaswi kuogopa kufanya makosa kwa sababu hii ni sehemu ya maisha na tunajifunza kutokana na makosa.
"Kwa hiyo inabidi tujikosoe sana sisi wenyewe, ikiwa tunataka kushinda makombe lazima tudai mengi. Kwangu ni heshima kubwa kuwa hapa na nina furaha sana kufanya kazi na watu hawa, Harry ni mtu bora na mchezaji mzuri.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live