Sat, 4 Feb 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Nottingham Forest imemsajili nahodha wa timu ya taifa Ghana, Andre Morgan Rami Ayew (Dede Ayew) kwa mkataba wa miezi 6 kutoka klabu ya Al Sadd SC ya Qatar.
Dede Ayew (33) anatua klabuni hapo baada ya kuachana na miamba hiyo ya Jiji la Doha, Qatar.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live