Wed, 6 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ofisi ya Mwendesha Mashtaka Mkoa wa Madrid imeomba Kocha wa Real Madrid Carlo Ancelotti ahukumiwe kifungo cha miaka 5 jela kwa kosa la ukwepaji wa kodi.
Ofisi ya Mwendesha Mashtaka Mkoa wa Madrid imeomba Kocha wa Real Madrid Carlo Ancelotti ahukumiwe kifungo cha miaka 5 jela kwa kosa la ukwepaji wa kodi. Muitaliano huyo anadaiwa kukwepa kodi ya kiasi cha €1m (Tshs Bilioni 2.7) kati ya 2014 na 2015 akiwa kwenye awamu ya kwanza kama kocha wa klabu hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live