Tue, 17 Oct 2023
Chanzo: ManaraTV
Katika hali isiyokuwa ya kawaida kijana ambaye hajatambulika jina lake amenaswa na Camera za CCTV katika Maduka ya GSM, Mlimani City Jijini Dar es Salaam akijaribu kutaka kuiba jezi za Yanga SC.
Kijana huyo aliingia dukani hapo kama mteja, lakini baadae alijikuta akileta wizi huo wa kutaka kuiba jezi 11 za Yanga SC kabla ya kukamatwa na mfumo huo wa Kidigital ulioko dukani hapo.
Chanzo: ManaraTV