Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Anaehujumu jezi za Simba, Yanga kuanikwa hadharani leo

Simba Yanga Jezi Oneee Anaehujumu jezi za Simba, Yanga kuanikwa hadharani leo

Thu, 26 Oct 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mzabuni wa jezi za Klabu ya Simba na Mfanyabiashara mkubwa wa Maduka ya Nguo @sandalandtheon1 leo atamuanika kwa jina aliyeleta jezi feki na kuzisambaza nchini.

Amesema leo atamtaja kwa jina ili umma ujue ni nani anayehusika na kuleta mzigo huo nchini.

Sakata la jezi feki linakuja baada ya @sandalandtheon1 kukamata mzigo feki katika moja ya sehemu za kuhifadhia Mizigo Jijini Dar es Salaam.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live