Mon, 13 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha Mkuu wa timu ya taifa,"Taifa Stars", Adel Amrouche ametaja kikosi chake cha kwanza cha timu ya taifa kitakachoshuka dimbani kucheza michezo miwili ya kufuzu AFCON 2023, huku mchezaji Feisal Salum 'Fei Toto' akijumuishwa kwenye kikosi hicho.
Kocha Mkuu wa timu ya taifa,"Taifa Stars", Adel Amrouche ametaja kikosi chake cha kwanza cha timu ya taifa kitakachoshuka dimbani kucheza michezo miwili ya kufuzu AFCON 2023, huku mchezaji Feisal Salum 'Fei Toto' akijumuishwa kwenye kikosi hicho.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live