Mchambuzi Amri Kiemba ameizungumzia Azam FC kama moja ya klabu zilizokuwa na uvumilivu mkubwa kwa msimu uliomalizika ,wakati ambao watu wengi waliamini kocha mkuu wa timu hiyo Yousuph Dabo angeachishwa kazi , viongozi walikuwa upande wa mwalimu na mwisho wa msimu imewalipa wamemaliza nafasi ya pili na wapo kwenye fainali ya FA.
Mchambuzi Amri Kiemba ameizungumzia Azam FC kama moja ya klabu zilizokuwa na uvumilivu mkubwa kwa msimu uliomalizika ,wakati ambao watu wengi waliamini kocha mkuu wa timu hiyo Yousuph Dabo angeachishwa kazi , viongozi walikuwa upande wa mwalimu na mwisho wa msimu imewalipa wamemaliza nafasi ya pili na wapo kwenye fainali ya FA. “Ukiwa unaogopa kukosea ndio unakosea zaidi,naupongeza uongozi wa Azam kwa sababu ilionekana Kocha ambaye hawezi kuvuka Christmas ni Dabo , lakini wamemvumilia mwalimu na kumpa anachohitaji”