Tue, 5 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Sofyan Amrabat rasmi ndani ya uzi wa Manchester United ambapo amekabidhiwa jezi namba 4.
Amrabat amejiunga na miamba hao wa Old Trafford akitokea klabu ya Fiorentina ya Italia, ambapo atakipiga klabuni hapo kwa mkopo mpaka mwisho wa msimu ambapo wataweza kumnunua moja kwa moja.
Je, unadhani atakwenda kuimarisha safu ya Kiungo ya Man United? Tupe maoni yako
Chanzo: www.tanzaniaweb.live