Wed, 17 Nov 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Usajili mpya kunako klabu ya Barcelona, Dani Ales ametambulishwa rasmi hii leo kwa mashabiuki wa kikosi hicho.
Alves ambae aliichezea Barca miaka ya nyuma na kujibebea mataji mengi amesajiliwa akiwa mchezaji huru.
Tazama video hapa chini akitambulishwa.
Barcelona president Joan Laporta: “I asked Xavi if he wanted to sign Dani as he was available and Xavi told us: ‘I need Dani Alves in the team, it’s important’ - and so things have ended up as they should have. He’s here!” ???????? #FCB pic.twitter.com/phNWAMMOob
— Fabrizio Romano (@FabrizioRomano) November 17, 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live