Wed, 28 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa mujibu wa ripoti ya Santi Aouna, Klabu ya Liverpool wamefanya mazungumzo chanya na kocha Xabi Alonso kuhusu uwezekano wa kubeba mikoba ya Jurgen Klopp ambaye ataondoka klabuni hapo mwishoni mwa msimu huu.
Kwa mujibu wa ripoti ya Santi Aouna, Klabu ya Liverpool wamefanya mazungumzo chanya na kocha Xabi Alonso kuhusu uwezekano wa kubeba mikoba ya Jurgen Klopp ambaye ataondoka klabuni hapo mwishoni mwa msimu huu. Licha ya kuwindwa na Bayern Munich, imeelezwa kuwa Alonso ana shauku zaidi ya kujiunga na miamba wa soka la England, Klabu ya Liverpool.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live