Sun, 18 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bayer 04 Leverkusen imeifikia rekodi ya muda wote iliyowekwa na Bayern Munich kwa timu ya Ujerumani kucheza mechi nyingi bila kufungwa kwenye mashindano yote.
Bayer 04 Leverkusen imeifikia rekodi ya muda wote iliyowekwa na Bayern Munich kwa timu ya Ujerumani kucheza mechi nyingi bila kufungwa kwenye mashindano yote. Bayern iliweka rekodi hiyo kwa kucheza mechi 32 bila kufungwa na jana Februari 17 Xabi Alonso na vijana wake wamefikisha mechi 32 bila kufungwa wakifunga magoli 95 na kujikita kileleni mwa msimamo wa Bundasliga kwa tofauti ya alama 5.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live