Tue, 14 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mnamo msimu wa 2015/16, kocha wa sasa wa Bayer Leverkusen, Xabi Alonso alikuwa kwenye kikosi cha Bayern Munich kilichoweka rekodi ya kukusanya pointi nyingi zaidi (31) kwenye mechi 11 za kwanza za msimu wa Bundesliga.
Msimu huu 2023/24 akiwa kama kocha wa Bayer Leverkusen, Xabi ameiongoza Leverkusen kufikia rekodi hiyo, mechi 11, alama 31.
Neno moja kwa Xabi Alonso
Chanzo: www.tanzaniaweb.live