Thu, 27 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
“Mamadou Doumbia hawezi kuja tu alafu tumtoe Mwamnyeto ake pembeni, performance yake kwenye mazoezi iko fit kabisa, challenge anazopitia Mamadou ni jinsi gani anaingia kwenye Timu kwa maana ya Chemistry yake na wenzake.
“Ukisajiliwa Yanga unakuja kwenye Squad yenye quality kubwa, unatakiwa upambane haraka uzoee mazingira ucheze kwenye kikosi cha kwanza, hauchezi by favor kwamba umetoka wapi.
“Doumbia Moja ya sababu inayomfanya ashindwe kuingia kwenye kikosi cha kwanza sio kuhusu uwezo wala fitness changamoto yake ni maelewano yake na wenzake (Communication) (language),” amesema
Chanzo: www.tanzaniaweb.live