Tue, 6 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Meneja wa Habari na Mawasiliani wa Yanga, Ally Kamwe atoa ya moyoni kuhusu tabia za wachezaji kupoteza muda ndani ya dakika 90 mechi ikiendelea ambapo amedai kuwa kama kuna uwezekano waamuzi wa mchezo wapewe semina ili kuzuia tabia hiyo.
Pia ametoa mtazamo wake kuhusu mshambuliaji Joseph Guede kiwango alichokionyesha dhidi ya Dodoma Jiji jana Februari 05, 2024 katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliomalizika Kwa ushindi wa bao 1-0 na Dodoma Jiji katika uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: