Mon, 27 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ofisa Habari Yanga, Ally kamwe amesema safari yote ya Zanzibar majibu kamili yatapatikana saa 5 asubuhi hii wananchi watapata Habari zote kwanini Yanga imekuja Zanzibar.
Ofisa Habari Yanga, Ally kamwe amesema safari yote ya Zanzibar majibu kamili yatapatikana saa 5 asubuhi hii wananchi watapata Habari zote kwanini Yanga imekuja Zanzibar. Ally kamwe amewapiga kijembe Azam FC kama wangempata Mchezaji kama Pacome wangemchukua na kupiga nae picha kwenye boti ya Azam FC baada ya kufanya hivyo kwa Feisal Salum 'Feitoto'
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: