Thu, 23 Feb 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Tambo za Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe kwa Simba SC baada ya kuongeza gape la pointi na kufikia 8
Tambo za Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe kwa Simba SC baada ya kuongeza gape la pointi na kufikia 8 “Sisi hatutaki watu wengine wapewe lawama kwamba wameshindwa kuizuia Yanga, tumetuma maombi kwa bodi ya Ligi ikiwezekana, pointi 8 ni michezo mitatu hivyo tutwangwe na huyu bwana (Simba SC) mfululizo mechi tatu halafu aone ilivyo ngumu kukata pointi 8. Yeye ndio azikate kama ni rahisi, asije baadaye kusema timu zingine zilishindwa kutuzuia.”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live