Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Ally Kamwe: Tumeutoa mpira Mdomoni tumeuweka mguuni

Ally Kamwe Mpira Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe

Tue, 27 Feb 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Wakati wakiwa na kumbukumbu nzuri ya ushindi mnono wa mabao 4-0 dhidi ya CR Belouzdad ya nchini Algeria.

Mseamji wa Yanga Ally Kamwe amesema kwa sasa wao hawana muda wa kubisha na yoyote na badala yake wanajiandaa kufanya vyema katika mchezo wa ugenini dhidi ya Al Ahly.

Akizungumza katika Mkutano na Waandishi wa Habari Kamwe anasema;

“Yanga Mpira tumeutoa mdomoni na kuuweka Mguuni, sisi sio kama wale na ndio maana jumamosi mliona Belouizdad wanalaumiana wenyewe kwa kuzidiwa uwanjani lakini sio kwa mambo ya nje ya uwanja kama kuloga n.k”

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: