Thu, 9 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya Jana Mei 8 kufanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Timu ngumu ya Kagera Sugar na kufanikiwa kuibuka na alama zote tatu katika harakati zao za kulinyemelea taji la Ligi Kuu ya NBC.
Afisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe amesema Kagera ni moja ya timu ambazo zimewapa ushindani wa hali ya juu msimu huu.
Akizungumza Ally Kamwe anasema;
“Kagera Sugar msimu huu ametuchangia point 4 tu kwa hivyo Kagera sio timu kibonde zipo timu zimefungwa 7”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: