Wed, 26 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Meneja habari na mawasiliano wa Yanga Ali kamwe anawaambia wana Yanga kuwa, Ikifika julai mosi (01/07/2024) ndio siku ambayo sura zao zitabadilika na kuwa sura za kazi, Kazi zinaanzia kwenye maboresho ya kikosi walichonacho pia kuwatangazia mashabiki wa Yanga idadi ya wachezaji wanaosalia na wanaoondoka
Tazama Video;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live