Kiungo wa Ushambuliaji raia wa Uganda Allan Okello amejiunga na mabingwa wa Uganda Vipers kwa mkataba wa miaka mitatu akiwa mchezaji huru baada ya kuvunja mkataba kwa makubaliano ya pande zote mbili na Paradou AC ya Algeria, Msimu uliopita aliitumikia KCCA ya Uganda kwa mkopo akitokea Paradou AC.
Kiungo wa Ushambuliaji raia wa Uganda Allan Okello amejiunga na mabingwa wa Uganda Vipers kwa mkataba wa miaka mitatu akiwa mchezaji huru baada ya kuvunja mkataba kwa makubaliano ya pande zote mbili na Paradou AC ya Algeria, Msimu uliopita aliitumikia KCCA ya Uganda kwa mkopo akitokea Paradou AC.