Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

All Ittihad waweka Pauni Milioni 25 kwa Ederson

Skysports Man City Ederson 5602425 Golikipa wa Man City, Ederson

Mon, 27 May 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Kipa wa Manchester City, Ederson anafukuziwa kwa udi na uvumba na Klabu ya Al-Ittihad kutoka Ligi Kuu ya Saudia.

Ederson mmoja wa makipa bora barani Ulaya bado ana miaka miwili kwenye mkataba wake na Man City, lakini taarifa zinaeleza kuwa Al-Ittihad wako tayari kuweka mezani pauni milioni 25 kama ofa ya awali kwa ajili ya mchezaji huyo wa kimataifa wa Brazil mwenye umri wa miaka 30.

Al-Ittihad imekuwa ikimtaka mchezaji huyo kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live