Fri, 26 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa timu ya Taifa ya Senegal Aliou Cissé amechaguliwa kuwa kocha bora wa hatua ya makundi ya kombe la Mataifa Afrika (AFCON 2023) baada ya kuwaongoza ‘Simba hao wa Teranga’ kushinda mechi zote tatu za hatua ya makundi na kufuzu hatua ya 16 bora.
Kocha wa timu ya Taifa ya Senegal Aliou Cissé amechaguliwa kuwa kocha bora wa hatua ya makundi ya kombe la Mataifa Afrika (AFCON 2023) baada ya kuwaongoza ‘Simba hao wa Teranga’ kushinda mechi zote tatu za hatua ya makundi na kufuzu hatua ya 16 bora. Michezo ya hatua ya 16 Bora itaanza Januari 27.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live