Sat, 13 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya ihefu ipo katika hatua za mwisho kukamilisha Usajili wa kiungo wa ushambuliaji raia wa Congo DR Manus Bola.
Hapo awali alihisishwa kujiunga na klabu ya Singida Fountain gate ila kutokana na katazo la kusajili kutoka FIFA sasa Winga huyo anakaribia kumalizana na Viongozi wa Ihefu.
Huenda kabla ya juma hili kuisha akatambulishwa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live