Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Aliewalaza Simba macho, atua Singida Black Stars

Victorien Adebayor Victorien Adebayor

Wed, 28 Aug 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Klabu ya Singida Black Stars imemtangaza mshambuliaji, Victorien Adebayor (27) raia wa Niger kama mchezaji mpya klabuni hapo kwa mkataba wa miaka miwili.

Adebayor aliwika akiwa RS Berkane ya Morocco kabla ya kujiunga na AmaZulu ya Afrika Kusini mnamo Julai 2023 akidumu nayo mpaka Januari 2024 alipotimkia AS GNN ya nyumbani kwao Niger.

Adebayor alitajwa kuhitajika na Simba kabla ya kuamua kutimkia nchini Morocco katika Klabu ya Berkane.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live