Thu, 18 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Nigeria Umar Sadiq (26) aliondolewa kwenye orodha ya wachezaji watakaocheza AFCON siku tano zilizopita kwa sababu ya kupata majeraha
Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Nigeria Umar Sadiq (26) aliondolewa kwenye orodha ya wachezaji watakaocheza AFCON siku tano zilizopita kwa sababu ya kupata majeraha Hata hivyo, jana usiku aliitumikia klabu yake ya Real Sociedad na kucheza dakika 18.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live