Wed, 12 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Azam Fc imethibitisha kuwa nyota wake wa Kimataifa wa Senegal Gibril Sillah ameshajiunga na wachezaji wenzake mazoezini huko nchini Tunisia kwa ajili ya kujiandaa na msimu mpya wa 2023/24.
Klabu ya Azam Fc imethibitisha kuwa nyota wake wa Kimataifa wa Senegal Gibril Sillah ameshajiunga na wachezaji wenzake mazoezini huko nchini Tunisia kwa ajili ya kujiandaa na msimu mpya wa 2023/24. Mlinda mlango Ali Ahamada nae ameshaanza mazoezi kambini hapo akitokea mapumzikoni.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live