Sat, 26 Mar 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Uwanja wa Douala Jijini Douala, wenyeji, Cameroon wamechapwa 1-0 na Algeria, bao pekee la mshambuliaji wa Sporting Lisbon ye Ureno, Islam Slimani dakika ya 40,
Uwanja wa Douala Jijini Douala, wenyeji, Cameroon wamechapwa 1-0 na Algeria, bao pekee la mshambuliaji wa Sporting Lisbon ye Ureno, Islam Slimani dakika ya 40, Katika mchezo mwingine wa kuwania kufuzu kwa Fainali hizo za Kombe la Dunia,Katika Uwanja wa Machi 26 Jijini Bamako, wenyeji, Mali wamechapwa 1-0 na Tunisia, bao la kujifunga la beki wa Standard Liège ya Ubelgiji, Moussa Sissako dakika ya 36.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live