Shirikisho la soka la Algeria na klabu ya USM Alger wamekataa rufaa wakipinga uamuzi wa Shirikisho la soka Afrika kuruhusu klabu ya RS Berkane ya Morocco kuvaa jezi ya timu ambayo ina ramani ya Morocco inayojumuisha eneo hilo na kuipatia ushindi wa mezani ambao unairuhusu kucheza fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika.
Shirikisho la soka la Algeria na klabu ya USM Alger wamekataa rufaa wakipinga uamuzi wa Shirikisho la soka Afrika kuruhusu klabu ya RS Berkane ya Morocco kuvaa jezi ya timu ambayo ina ramani ya Morocco inayojumuisha eneo hilo na kuipatia ushindi wa mezani ambao unairuhusu kucheza fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Berkane imepangiwa kucheza fainali ya mikondo miwili tarehe 12 na 19 Mei dhidi ya Zamalek ya Misri, lakini haijabainika iwapo rufaa ya Algeria itaamuliwa kabla ya mechi hizo.