Wed, 24 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Washindi wa AFCON 2019 Algeria wameondolewa kwenye AFCON 2023 baada ya kumaliza mkiani katika Kundi D kwa mchuano wa pili mfululizo.
Washindi wa AFCON 2019 Algeria wameondolewa kwenye AFCON 2023 baada ya kumaliza mkiani katika Kundi D kwa mchuano wa pili mfululizo. Algeria haijashinda mchezo wowote katika michuano hiyo tangu fainali ya 2019 nchini Misri walivyo mfunga Senegal na kutwaa ubingwa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live