Wed, 29 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Alexander Isak usiku wa leo amekuwa mchezaji wa kwanza kufunga bao la ugenini kwenye ligi ya mabingwa UEFA Champions League kwa Newcastle United tangu alivyofanya hivyo Alan Shearer dhidi ya Inter Milan mnamo Machi 2003.
Alexander Isak usiku wa leo amekuwa mchezaji wa kwanza kufunga bao la ugenini kwenye ligi ya mabingwa UEFA Champions League kwa Newcastle United tangu alivyofanya hivyo Alan Shearer dhidi ya Inter Milan mnamo Machi 2003.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live