Tue, 14 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa zamani wa klabu ya Arsenal ,Barcelona na timu ya Taifa ya Cameroon Alexander Song ametangaza rasmi kustaafu soka la kulipwa leo akiwa na umri wa miaka 36.
Kiungo wa zamani wa klabu ya Arsenal ,Barcelona na timu ya Taifa ya Cameroon Alexander Song ametangaza rasmi kustaafu soka la kulipwa leo akiwa na umri wa miaka 36. Kabla ya kutangaza kustaafu alikuwa anaitumikia Klabu ya Arta Solar 7 iliyopo nchini Djibouti
Chanzo: www.tanzaniaweb.live